Wahamiaji Kagera wapewa siku 14 kujisalimisha
Idara ya uhamiaji mkoani Kagera imetoa kipindi cha siku 14 kwa wahamiaji haramu na wageni wanaofanya kazi katika mkoa huo bila kibali ambao wamejificha kwenye baadhi ya visiwa vilivyoko ndani ya ziwa Victoria.
