Tutaitisha baraza kujadili kuhusu Zanzibar- Mziray

Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa,Peter Kuga Mziray.

Mwenyekiti wa baraza la vyama vya siasa nchini Peter Kuga Mziray amesema wanajipanga kukutana na kuitisha baraza la mashauriano baina ya vyama vya siasa na Tume ya uchaguzi Zanzibar ZEC wakati wowote visiwani Zanzibar kwa ajili ya majadiliano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS