Tutaitisha baraza kujadili kuhusu Zanzibar- Mziray
Mwenyekiti wa baraza la vyama vya siasa nchini Peter Kuga Mziray amesema wanajipanga kukutana na kuitisha baraza la mashauriano baina ya vyama vya siasa na Tume ya uchaguzi Zanzibar ZEC wakati wowote visiwani Zanzibar kwa ajili ya majadiliano.