Polisi yaanzisha mpango wa kuhakikisha usalama Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu Wizara ya Mambo ya ndani kupitia jeshi la polisi wameanzisha mpango maalum wa kuhakikisha usalama wa raia na mali zao unaoratibiwa na mpango wa matokeo makubwa sasa BRN. Read more about Polisi yaanzisha mpango wa kuhakikisha usalama