Wachina 13 wakamatwa mgodini Geita bila kibali

Baadhi ya raia wa China na Watanzania wakishirikiana kuchimba madini katika pori la Akiba la Lwafi,wilayani Nkansi kinyume cha sheria

Idara ya uhamiaji mkoani Geita inawashikilia raia 13 wa China kwa tuhuma za kufanya kazi za kutafiti pamoja na kufanya kazi za kuchenjua madini ya dhahabu kinyume cha sheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS