Ronaldo kama Platin aipeleka fainali Ureno
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni ndiyo unavyoweza kuanza kusema hivyo kufuatia kile ambacho anakifanya nahodha wa Ureno katika michuano ya Euro 2016 inayoendelea nchini Ufaransa kwa sasa baada ya kuiwezesha nchi yake kutinga fainali.

