Stand United kumtangaza mrithi wa Patrick Liewig

kikosi cha Stand United

Klabu ya Stand United ya Mjini Shinyanga inatarajia kumtangaza kocha mpya atakayerithi nafasi ya Mfaransa, Patrick Liewig ambaye mkataba wake umesitishwa mara baada ya kumalizika kwa msimu uliopita wa ligi kuu Tanzania Bara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS