Baada ya Ibrahimovic Messi naye anukia Man United

Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic akishangilia moja ya mabao yake akiwa PSG.

Baadha ya kusuasua kwa misimu kadhaa sasa tangu kuondoka kwa kocha Ferguson na makocha kadhaa kupita klabuni Manchester United sasa timu hiyo imeanza mikakati ya kurejesha enzi za kocha huyo aliyeipa mafanikio katika soka Barani Ulaya na duniani kote

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS