Magufuli ateua wakurugenzi wa halmashauri Rais John Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 07 Julai, 2016 amefanya uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri za majiji 5, Manispaa 21, Miji 22 na Wilaya (DC) 137 za Tanzania Bara. Read more about Magufuli ateua wakurugenzi wa halmashauri