Serikali yatangaza eneo la kiuchumi mkoani Pwani Waziri wa Viwanda ,Biashara na uwekezaji Mhe. Charles Mwijage Serikali imetangaza katika eneo la Mkiu katika wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani kuwa eneo maalumu la ujenzi wa viwanda vya kuzalishia bidhaa zinazouzwa nje ya nchi(EPZA). Read more about Serikali yatangaza eneo la kiuchumi mkoani Pwani