Waislam watakiwa kushirikiana na serikali
Viongozi wa Dini ya Kiislam nchini wameitaka jamii kuungana na Serikali kurejesha suala la uadilifu miongoni mwa jamii pamoja na kukemea tabia ya baadhi ya watu wanaofanya mauaji katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
