Shelisheli waje tu, tupo fiti-Serengeti Boys

Kikosi cha Serengeti Boys kikisherehekea kushika nafasi ya tatu kwenye mashindano ya mwaliko nchini India mwezi uliopita.

Nahodha wa Timu ya Taifa ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17 Serengeti Boys, Issa Abdi amesema mashindano ya vijana yaliyofanyika nchini India mwezi uliopita, yamewajenga vizuri, baada ya kukutana na mataifa yaliyondelea kisoka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS