Polisi Jamii ndio wanawaponza Polisi-Rais Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli amekataa uwepo wa Polisi Jamii nchini na kusema Polisi kushirikiana na raia ndio chanzo cha kuongezeka kwa uhalifu na matukio ya ujambazi.

