Polisi Jamii ndio wanawaponza Polisi-Rais Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli(katika)Kulia kwake ni Mkuu wa jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu na (kushoto ni Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli amekataa uwepo wa Polisi Jamii nchini na kusema Polisi kushirikiana na raia ndio chanzo cha kuongezeka kwa uhalifu na matukio ya ujambazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS