Waziri Mkuu asitisha uvunaji wa mbao Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesitisha utoaji wa vibali vya uvunaji wa mbao kutoka katika mashamba nane ya miti ya kupandwa yanayosimamiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS). Read more about Waziri Mkuu asitisha uvunaji wa mbao