Waziri Mkuu asitisha uvunaji wa mbao

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesitisha utoaji wa vibali vya uvunaji wa mbao kutoka katika mashamba nane ya miti ya kupandwa yanayosimamiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS