Baada ya Mourinho Zidane naye amtaka Kante Madrid

Kiungo wa Leicester City Mfaransa N'Golo Kante.

Kocha wa Real Madrid Zinedine Zidane anamtaka kiungo mkabaji wa Leicester City na Ufaransa aliye kwenye kiwango bora kwa sasa aking'ara katika michuano ya Euro 2016, N'Golo Kante pia amemvutia kocha wa Manchester United Jose Mourinho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS