Kiungo mpya wa Yanga, Juma Mahadhi aanza vizuri

Kiungo mpya wa Yanga, Juma Mahadh

Kiungo mpya wa Yanga, Juma Mahadhi ameanza kuonesha cheche zake baada ya kufanikiwa kufunga mabao mawili katika mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar huku akifanikiwa kutengeneza penalti mbili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS