Muswaada wa sheria ya wazee kuwasilishwa Bungeni

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa wizara yake inatarajia kuwasilisha bungeni muswada wa sheria ya wazee itakayolinda na kusimamia maslahi ya wazee nchini katika bunge lijalo la Septemba mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS