Vingozi 743 Pwani kupelekwa mahakamani Wizara ya Kilimo nchini Tanzania imesema kuwa itawachukulia hatua viongozi na watendaji wa Ushirika wa Korosho katika mkoa wa Pwani waliohusika katika upotevu wa fedha zaidi ya shilingi bilioni 2. Read more about Vingozi 743 Pwani kupelekwa mahakamani