Omog kuwasili leo, kusaini kuifundisha Simba SC Kocha raia wa Cameroon Joseph Marius Omog Kocha raia wa Cameroon Joseph Marius Omog anatarajiwa kuwasili usiku wa leo kwa ajili ya mazungumzo ya mwisho na uongozi wa Simba kabla ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuifundisha klabu hiyo. Read more about Omog kuwasili leo, kusaini kuifundisha Simba SC