Bodi ya filamu yataka wasanii wasaidiwe

Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo akikabidhi msaada wa shillingi laki 5 kwa Wakonta Kapunda ambaye ni mshiriki wa mashindano ya uandishi wa muswada wa filamu yatayofanyika Zanzibar. Jijini Dar es Salaam.

Serikali imewataka wadau wa kazi za sanaa kuwasaidia wasanii wachanga katika kazi zao ili waweze kufanikiwa na kutangaza kazi zao kimataifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS