Luol Deng ajiunga na LA Lakers, NBA

Luol Deng

Mchezaji wa Ligi ya Kikapu nchini Marekani NBA, Muingereza Luol Deng amesaini mkataba wa miaka 4 kujiunga na timu ya Los Angeles Lakers akitokea Miami Heat kwa dau la dola za kimarekani milioni 72 (takriban shilingi bilioni 150 za kitanzania)

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS