Sekretarieti ya Halmashauri kuu CCM kukutana leo
Maandalizi ya mkutano mkuu maalum wa kumchagua mwenyekiti mpya wa Chama Cha Mapinduzi yamekamilika ambapo wajumbe wa Mkutano mkuu huo wamehakikishiwa usalama wa kutosha katika kipindi chote cha mkutano huo.

