Sekretarieti ya Halmashauri kuu CCM kukutana leo

Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka.

Maandalizi ya mkutano mkuu maalum wa kumchagua mwenyekiti mpya wa Chama Cha Mapinduzi yamekamilika ambapo wajumbe wa Mkutano mkuu huo wamehakikishiwa usalama wa kutosha katika kipindi chote cha mkutano huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS