Yanga inaweza kuadhibiwa na CAF - Malinzi

Rais wa TFF Jamali Malinzi akizungumza na EATV.

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limerudisha jukumu lake la kusimamia mashindano ya kimataifa ya vilabu vyake hapa nchini, kutokana na uwezekano wa Yanga kuadhibiwa na CAF kutokana na vurugu zilizojitokeza katika mchezo wake na TP Mazembe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS