Madereva wajisaidia kwenye magari kwa kukosa vyoo

Kituo cha magari makubwa katika mji mdogo wa Tunduma

Madereva wa Magari makubwa ya kuchukulia mizigo katika eneo la Mwanjelwa jijini Mbeya wanalazimika kujisaidia haja ndogo katika
magari yao au kandokando ya miti iliyopo kandokando ya barabara kutokana na kukosekana kwa choo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS