SUMATRA yawataka madereva kufika mwisho wa vituo
Madereva wa daladala wametakiwa kufika katika vituo vyao vya mwisho kama ilivyoanishwa kwenye leseni zao ili kuwaepushia abiria usumbufu wa kuwakatishia ruti kwani kwa kufanya ni usumbufu wa hali ya juu kwa abiria husuika.

