Rungwe aonyesha wasiwasi wake na bajeti ya nchi.

Wakili na Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania Hashim Rungwe amesema kuwa bajeti iliyopitishwa na serikali haitaweza kubadilisha maisha ya watanzania endapo serikali haitaweka nia ya dhati ya kubana matumizi yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS