Diamond aunga mkono kutozwa milioni 10 plate namba

Msanii wa Bongo Flava Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz amesema anaunga mkono kitendo cha serikali kutangaza kwamba kwa watu wanaotumia plate number za majina yao watatozwa milioni 10 kama kodi kutoka 5 kuanzia mwaka wa fedha 2016 & 2017.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS