Serikali yaanza kushughulikia migogoro ya Maji

Waziri wa Maji na Umwagiliaji ,Mhandisi Lwenge akizindua rasmi moja ya mradi wa maji

Serikali imesema kuwa imeanza kushughulikia tatizo la upungufu wa maji ikiwa ni pamoja na kuwakamata watu watu wanaosabisha uhaba wa maji kwa makusudi ikiwemo kujiunganishia huduma hiyo kiholela.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS