Magonjwa yasiyoambukiza yawa tishio nchini Tz
Serikali ya Tanzania imetakiwa kuliangalia tatizo la magonjwa yasiyoambukiza kama ni tatizo kubwa nchini na kuweka nguvu kubwa katika tafiti , sera na kutoa elimu zitakazorahisisha mapambano ya magonjwa hayo ili waweze kuwanusuru watanzania.