Uhaba wa sukari kumalizika karibuni - Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (Katikati) katika hafla ya kufuturisha, akiwa na Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Simon Sirro (Kulia) na Mkuu wa Wilaya wa Kinondoni Ally Salum Hapi (Kushoto)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewahakikishia watanzania kwamba serikali inaendelea na jitihada za kuondoa tatizo la uhaba wa sukari nchini ambapo jumla ya tani 20,000 zilisambazwa jana katika maeneo mbalimbali nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS