BASATA yatakiwa kutoa adhabu kwa Nay wa Mitego

Msanii wa Bongo Flava Nay wa Mitego

Juzi Baraza ka Sanaa nchini (BASATA) lilitangaza kuufungia wimbo wa mwanamuziki Nay wa Mitego unaokwenda kwa jina la ‘Pale kati Patamu’ kwa maelezo kuwa wimbo huo kwa kiasi kikubwa umekiuka maadili ya sanaa na jamii kwa ujumla.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS