Sijaja Yanga kugombania namba - Kakolanya

Mlinda Mlango wa Yanga, Beno Kalolanya

Mlinda mlango namba nne wa Mabingwa wa Ligi kuu Tanzania Bara Beno Kakolanya amesema anatarajia kujifunza mambo mengi kwa makipa wazoefu Deo Munishi ‘Dida’ na Ally Mustafa ‘Barthez’.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS