Sijaja Yanga kugombania namba - Kakolanya Mlinda Mlango wa Yanga, Beno Kalolanya Mlinda mlango namba nne wa Mabingwa wa Ligi kuu Tanzania Bara Beno Kakolanya amesema anatarajia kujifunza mambo mengi kwa makipa wazoefu Deo Munishi ‘Dida’ na Ally Mustafa ‘Barthez’. Read more about Sijaja Yanga kugombania namba - Kakolanya