'Jike Shupa' siyo Shilole - Nuh Mziwanda Sehemu ya video ya wimbo wa jike shupa Nyota wa Bongo Flava Nuh Mziwanda amesema kuwa ngoma yake mpya ya JIKE SHUPA hajamuimbia mtu yeyote mahususi kama inavyodaiwa na baadhi ya wapenzi wa muziki wa kizazi kipya nchini. Read more about 'Jike Shupa' siyo Shilole - Nuh Mziwanda