'Jike Shupa' siyo Shilole - Nuh Mziwanda

Sehemu ya video ya wimbo wa jike shupa

Nyota wa Bongo Flava Nuh Mziwanda amesema kuwa ngoma yake mpya ya JIKE SHUPA hajamuimbia mtu yeyote mahususi kama inavyodaiwa na baadhi ya wapenzi wa muziki wa kizazi kipya nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS