Maonesho ya wiki ya utumishi wa umma yafutwa
Serikali ya Tanzania imebadilisha mfumo wa maadhimisho ya siku ya utumishi wa umma badala yake siku hiyo ya tarehe 16 hadi 23 mwezi huu itatumika kwa watendaji wakuu kusikiliza kero za watumishi na wananchi.