Tenis kwa vijana wadogo yarejea Gymkhana tena
Baada ya kupita kwa takribani miaka miwili bila kuwepo kwa mashindano ya tenisi kwa vijana wadogo katika klabu ya Dar Gymkhana hatimaye safari hii watoto wamefurahia shindano hilo kwa mara ya kwanza jijini Dar es Salaam.