Wakuu wa Wilaya Mtwara wala kiapo

Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Halima Dendego.

Wakuu wa wilaya wapya mkoani Mtwara wameahidi kufanya kazi kwa kujituma na kuwatumikia wananchi wao ili kuendana na kasi na sera ya Rais wa Tanzania Dokta John Magufuli, ambayo imejikita katika kujali masilahi ya wananchi wa hali ya chini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS