ACT walalamikia jeshi la polisi

Chama cha ACT – Wazalendo kimeelezwa kusikitishwa kwake na kitendo cha jeshi la polisi cha kuweka ulinzi mkali na kukizuia chama hicho kufanya kongamano lake katika jengo la Millenium Tower jijini Dar es salaam jana mchana .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS