Mbeya City kujipima na Mtibwa Jamhuri Julai 30 Mbeya City FC, wameomba mechi ya kirafiki na Mtibwa Sugar ikiwa ni maandalizi ya kupima kikosi chao kabla ya kuanza kwa msimu mwezi Agosti mwaka huu. Read more about Mbeya City kujipima na Mtibwa Jamhuri Julai 30