Tenisi walemavu waomba sapoti kwa Serikali

Riziki Salum kocha wa timu ya taifa ya tenisi ya walemavu ya Tanzania.

Siku chache baada ya kufanikiwa kutetea ubingwa wao wa michuano ya wazi ya tenisi ya Kenya, kocha mkuu wa timu ya taifa ya tenisi ya walemavu ya Tanzania Riziki Salum amesema ili timu hiyo ipate mafanikio ni vema Serikali ingeisaidia moja kwa moja

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS