BAVICHA kuzuia mkutano wa CCM Dodoma

Katibu Mkuu wa Baraza la Vijana la CHADEMA,(BAVICHA), Julius Mwita.

Baraza la Vijana la Chama cha Demoktasia na maendeleo nchini CHADEMA limesema litahakikisha linashirikiana na jeshi la polisi kuzuia mkutano mkuu wa Chama cha mapinduzi CCM unaotarajiwa kufanyika mjini Dodoma Julai 23 mwezi huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS