Deloitte yasifu bajeti ya Tanzania kwa mwaka ujao

Naibu Afisa Mtendaji Mkuu wa Deloitte Kanda ya Afrika Mashariki Bw. Joe Eshun.

Wachumi na wataalamu wa masuala ya fedha wamepongeza makadirio ya mapato na matumizi ya serikali kwa mwaka ujao wa fedha kwa maelezo kuwa makadirio hayo yanaakisi nia ya serikali ya kukuza uchumi na kufikia taifa la uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS