Super Nyamwela

Alizaliwa mnamo mwaka 1977 katika mkoa wa Ruvuma wilaya ya Tunduru. Alisoma na kumalizia elimu yake ya msingi akiwa huko. Rasmi alijiingiza katika fani ya muziki mwanzoni mwa miaka ya 1990 akiwa kama mcheza show katika kumbi mbali mbali za burudani huko na baadae kuhamia katika jiji la Dar-es-salaam huku akiendeleza kipaji alichokua nacho cha kucheza miziki tofauti tofauti kipindi hicho ikijulikana kama breakdance.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS