Tozo zilizopanda Ubungo ziboreshe miundombinu yake

Afisa Elimu chama cha Kutetea Abiria nchini Bw Gervas Rutaguzindwa ametaka kiwango kipya cha kodi kilichoanza kutozwa tarehe 01.07.2016 kiende sambamba na uboreshaji wa kituo hicho kwa kuwa kituo hicho kwa sasa hakina ubora wa kuwa kituo cha mabasi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS