Mbunge wa Jimbo la Sengerema Mhe. William Ngeleja, akiongea na Wananchi wa Jimbo lake
Utafiti katika mgodi wa dhahabu wa Nyanzaga Mkoani Mwanza, unatarajiwa kutumia zaidi ya shilingi bilioni 30 kuthibitisha kiwango cha dhahabu iliypo na kutoa mwelekeo wa uchimbaji wa madini hayo.