Wakazi Sengerema kunufaika na mgodi wa Nyanzaga

Mbunge wa Jimbo la Sengerema Mhe. William Ngeleja, akiongea na Wananchi wa Jimbo lake

Utafiti katika mgodi wa dhahabu wa Nyanzaga Mkoani Mwanza, unatarajiwa kutumia zaidi ya shilingi bilioni 30 kuthibitisha kiwango cha dhahabu iliypo na kutoa mwelekeo wa uchimbaji wa madini hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS