Vijana tumieni fursa ya Mitandao kujiajiri-Mgonja Vijana wakiwa Internet kutafuta mambo mbalimbali Vijana wametakiwa kutumia fursa zinazopatikana katika mitandao ya kijamii ili kujiajiri na kujikwamua kiuchumi kwa kuweza kuanzisha miradi mbalimbali itakayoweza kuwafaidisha kupitia mitandao hiyo. Read more about Vijana tumieni fursa ya Mitandao kujiajiri-Mgonja