Trump ateuliwa rasmi kugombea urais Marekani Donald Trump, mgombea urais wa marekani kupitia Republican Donald Trump ameteuliwa rasmi kugombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republican katika siku ya pili ya kongamano la kitaifa la Republican linalofanyika Cleveland Ohio nchini Marekani. Read more about Trump ateuliwa rasmi kugombea urais Marekani