Kinga ya Ukimwi haifanyi kazi kwa wasichana Mkurugenzi mkuu wa UNAIDS,Michel Sidibe Ripoti inaonyesha kuwa kinga dhidi ya Ukimwi haifanyi kazi kwa wasichana ukanda wa kusini mwa jangwa la Sahara huku wengi wakihitaji msaada wa kinga ili kuepuka maambukizi mapya. Read more about Kinga ya Ukimwi haifanyi kazi kwa wasichana