Koeman sasa ni wazi wa Everton amwaga wino rasmi

Kocha mpya wa Everton Ronald Koeman

Katika kuhakikisha inafanya vema katika michuano ya msimu ujao timu ya Everton imefanikiwa kuimarisha benchi lake la ufundi mara baada ya kuingia mkataba rasmi na aliyekuwa kocha wa Southampton Ronald Koeman.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS