Miaka 52 ushirikiano Zanzibar,China umeleta tija
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza kuwa uhusiano na ushirikiano mzuri ndani ya miaka 52 kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China umeweza kuleta mafanikio