Simba yakana kuibania Yanga barua ya Kessy CAF
Baada ya Yanga kusemekana kulaani kwa kile wanachodai kitendo cha watani zao Simba kuwabania barua ya kumruhusu beki wa pembeni wa timu hiyo aliyetua Jangwani hivi karibuni, Uongozi wa Simba umeibuka nakukana tuhuma hizo wakiitaka Yanga kuwaangukia