Polisi yaonya ubebaji wa kiasi kikubwa cha pesa
Wafanyabiashara wanaoweka na kutoa fedha zao kwenye benki mbali mbali nchini wametakiwa kutumia mfumo wa malipo kwa njia za kielektroniki ikiwemo ile ya mitandao ya simu za mkononi ili kuepusha uwezekano wa kuporwa fedha zao na majambazi.