Simba sasa kuanzi Moro wakirudi kuwavaa Gor Mahia

Rais wa Klabu ya Simba Evans Aveva akitoa maelekezo kwa timu ya viongozi siku ya Simba Day.

Wekundu wa Msimbazi Simba ya jijini Dar es Salaam ambao walisikika uhenda wakaanza mawindo yao ya msimu mpya wa ligi katika milima ya wilaya ya Lushoto jijini Tanga sasa imefahamika wekundu hao wataelekea mjini Morogoro kwa ajili ya kambi yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS