Barabara nyingi hazipitiki baada ya mvua- Lubeleje
Mbunge wa Jimbo la Mpwapwa, George Lubeleje CCM ameiambia serikali katika Bunge linaloendelea Dodoma kwamba baada ya mvua kunyesha katika maeneo mengi nchini barabara zimebakia katika hali mbaya na kutopitika na kutaka kauli.