Ampiga mumewe hadi kufa, kisa wivu

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza SACP Ahmed Msangi

Mwanamke mmoja anashikiliwa polisi kwa tuhuma za mauaji ya mumewe kwa madai ya wivu wa mapenzi wilayani Sengerema, mkoani Mwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS