Wazazi ripotini vitendo vya kingono kwa watoto
Mkuu wa wilaya ya kinondoni Mhe Ally Salum Hapi amesikitishwa na matukio ya ubakwaji na kulawitiwa kwa watoto na kuwaomba wazazi kushirikiana kwa pamoja kuripoti matukio hayo mapema ili yaweze kuchukuliwa hatua .