Tenisi walemavu waelekea Kenya leo alfajiri

wachezaji wa tenisi kwa walemavu wakicheza.

Baada ya kutembeza bakuli kuomba udhamini wa safari ya kwenda kushiriki michuano ya wazi ya Kenya timu ya taifa ya tenisi kwa walemavu ya Tanzania imeondoka leo alfajiri kuelekea Nairobi nchini Kenya baada ya kudhaminiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS