Wawekezaji waache kukwepa kulipa kodi

Wafanyabiashara wawekezaji kutoka nje ya Tanzania wametakiwa kuacha tabia ya ukwepaji kulipa kodi kwa wakati kwani kwa kufanya hivyo kunalisababishia taifa hasara ya kodi ambayo kama ingekusanywa kwa wakati ingebadilisha maisha ya wananchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS