Iceland yamstaafisha beki wa Leicester City.

Beki wa kulia wa Leicester City akishangilia katika moja ya mechi za ligi kuu ya England

Beki Christian Fuchs anayekipiga na mabingwa wa ligi kuu ya England klabu ya Leicester City ametangaza kustaafu kuichezea timu yake ya Taifa ya Austria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS