Iceland yamstaafisha beki wa Leicester City. Beki wa kulia wa Leicester City akishangilia katika moja ya mechi za ligi kuu ya England Beki Christian Fuchs anayekipiga na mabingwa wa ligi kuu ya England klabu ya Leicester City ametangaza kustaafu kuichezea timu yake ya Taifa ya Austria. Read more about Iceland yamstaafisha beki wa Leicester City.