Mshauri wa Timu ya Serengeti Boys, Kim Poulsen akitoa maelekezo kwa vijana katika mazoezi Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam.
Mshauri wa Timu ya Taifa ya vijana ya Tanzania Serengeti Boys Kim Poulsen amewataka wachezaji wa kikosi hicho kupata ushindi wa mapema dhidi ya timu ya vijana ya Shelisheli.