Wambura atamba kuiweka Mara katika ramani ya soka Michael Wambura akizungumza na EATV. Mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Mara Michael Wambura amesema ameanzisha mkakati kabambe utakaoufanya mkoa huo unaingia katika ramani ya soka hapa nchini. Read more about Wambura atamba kuiweka Mara katika ramani ya soka