Wateja walia na ukosefu wa machinjio soko la Kawe

Wananchi wanaokwenda kununua vitoweo jamii ya kuku na bata katika soko la Kawe jijini Dar es Salaam, hulazimika kuondoka sokoni hapo wakiwa wamebeba wanyama hao huku wakiwa hai, na kwenda kutafuta huduma ya uchinjaji katika maeneo wanayoishi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS