Serena atwaa taji la Wimbledon kwa rekodi mpya

Mwanadada Serena Willams akishangilia baada ya kushinda fainali ya Wimbledon.

Mwanadada raia wa Marekani ambaye ni mchezaji bora namba moja kwa mchezo wa tenisi duniani kwa upande wa wanawake Serena Williams nyota yake imeendelea kung'ara tena katika michuano mikubwa ya tenisi ya Grand Slam akitwaa ubingwa wa Wimbledon.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS