Batshuay kutua Chelsea? Mitchy Batshuay anayetajwa kukaribia kutua Stanford Bridge. Klabu ya soka ya Chelsea ipo mbioni kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji Mitchy Batshuay baada ya kuripotiwa kuwa ofa yao ya pauni milioni 33 imekubaliwa na Marseille. Read more about Batshuay kutua Chelsea?